1 Kings 8:10-12

10Makuhani walipoondoka katika Mahali Patakatifu, wingu likajaza Hekalu la Bwana. 11Nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa Bwana ulijaza Hekalu lake.

12Ndipo Sulemani akasema, “Bwana alisema kwamba ataishi katika giza nene;
Copyright information for SwhKC